
Tufanye kazi ya Mungu kwa uaminifu maana yeye huturuzuku bila kuchoka.
1Kor 1:9
Aliye upande wetu, Ni Mungu mwaminifu,
Yesu mwana wa Mungu, Ni Mungu mwaminifu.
Hujishughulisha, Na mambo yetu
, Ni Mungu mwaminifu.
Hasinzi, halali
Ni Mungu mwaminifu.
Aliye upande wetu,
Ni Mungu mwaminifu
Ametutuma Mungu
Kuifanya kazi yake,
Tutafanya.
Tutakwenda sote
Kutangaza neno lake,
Watu wapone.
Majeshi ya malaika zake,
Yametuzunguka.
Tumeimarishwa na nguvu zake,
Bwana Yesu.
(Tumetumwa)
Na Yesu mwenyewe, Na Yesu mwenyewe
Anatenda kazi pamoja nasi
(Tutangaze neno)
Na watu wapone
Na watu wapone
Bwana Yesu yupo nasi
Yesu eeeh eeh eeeh
Tutakutumikia wewe.
Bwana ndiwe uvuli na msaada kwetu
Tutakutumikia wewe .
Yesu eeh eeeh eeh
Tutakutumaini wewe
Umekuwa mwema,
Unatenda mema.
Audio Recorded by: Frester's Record
Graphics By: Titus Alfred
Contacts:
Email: neemagospelchoir@gmail.com
Phone: +255 (0) 766 777 288
Instagram: neema_gospel_choir
Facebook: Neema Gospel Choir
Twitter: Neema Gospel Choir
Telegram: Neema Gospel Choir