
Ahadi ya Mungu ni kutulinda na kukaa ndani yetu iwapo tutamtii.
Isaya 52:11-12
Enyi watumishi, Enyi wafuasi wa Yesu.
Mnao vichukua vyombo vya Bwana Mungu.
Iweni safi, lweni safi
Nendeni nendenizenu , Tokeni msiguse kitukichafu,
Tokeni kati yake, Nendeni, nendeni.
Maana hamtatoka kwa haraka,
Hamtakwenda kwa kukimbia.
Bwana MUNGU wenu wa mbingu,
Atawatangulia mbele,
Mungu wa israeli atawafuata nyuma.
Roho Mtakatifu hukaa kwa watakatifu.
(waliopondeka mioyo na wanyenyekevu)
Hao huwalinda kwake wako salama,
Watajazwa busara,
Mungu atatukuzwa
Nendeni nendeni zenu,
Tokeni msiguse kitu kichafu.
Tokeni kati yake,
Nendeni, nendeni.
Nendeni, nendeni
Audio Recorded by: Frester's Record
Graphics By: Titus Alfred
Contacts:
Email: neemagospelchoir@gmail.com
Phone: +255 (0) 766 777 288
Instagram: neema_gospel_choir
Facebook: Neema Gospel Choir
Twitter: Neema Gospel Choir
Telegram: Neema Gospel Choir