
Maono / Unabii aliooneshwa na Mungu kutabiri juu ya maisha yake.
Ikiwa YESU anaweza kuleta uzima tena kwa mifupa ile iliyokufa, vivyo hivyo anaweza kufufua chochote kilichokufa, kipate uhai tena kwa yeyote ambaye anamwamini.
"Akaniambia, Mwanadamu, je! Mifupa hii yaweza kuishi? Nami nikajibu, Ee Bwana MUNGU, wajua wewe. Akaniambia tena, Toa unabii juu ya mifupa hii, uiambie, Enyi mifupa mikavu, lisikieni neno la BWANA. Bwana MUNGU aiambia mifupa hii maneno haya; Tazama, nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi. Nami nitatia mishipa juu yenu, nami nitaleta nyama iwe juu yenu, na kuwafunika ngozi, na kutia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.'" Ezekieli 37:1-10
#Tunatabiri #NeemaGospelChoir