Katika uzinduzi wa Movie ya kibongo ya Play Boy iliyosheheni mastaa kibao, Chuchu Hansi ambaye ndio muhusika mkuu pia ndio mzazi mwenza wa Ray , ameweka hisia zake kwa baba mzazi wa mtoto wake baada ya kulia kwa uchungu Akiwa na Mama Yake Khadija kopa ambaye ndiye mshauri wake ambaye amekuwa akiwasiliana naye baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na Raymond kigosi shida ilikuwa hapa, baada ya kuulizwa swali juu ya hatima ya mahusiano yao kujua haya na mengine mengi angalia Tukio zima
Kwa maoni au ushauri commenti hapo chini.
Usisahau kusubscribe, kushare, kulike.
Follow on instagram @bongotrendytv.